Posts

Showing posts from July, 2016

Aliambiwa ananuka kama mbuzi, sasa awaonyesha yeye ni simba, tazama alivyofanya.......

Image
Gavana Mvurya aungana na kina mama kucheza ngoma ya kitamaduni katika mojawapo wa hafla katika kauti ya Kwale  Imetolewa: www.standardmedia.co.ke Gavana wa Kwale SalimMvury a ana sababu za kushangilia baada ya Kaunti ya Kwale kutajwa kama mojawapo wa kaunti ambazo zinatumia pesa za miradi ya maendeleo kwa njia sawasawa. Taarifa katika gazeti la Nation zinasema Kaunti ya Kwale ilitumia asilimia 57.3 ya matumizi yake ya maendeleo, hiki kikiwa ndicho kiwango cha juu zaidi cha matumizi katika mwaka wa serikali ulioisha Juni 30. Zamani, Mvurya alikuwa afisa wa maendeleo ya kijamii akifanya kazi na shirika la Plan International na huenda hapo ndipo alikereka na umaskini mkubwa ulioenea katika eneo la Kwale. Alipochaguliwa Mvurya aliyapatia kipaumbele maswala ya kuimarisha jamii kama vile kutengeneza   barabara, maji   na elimu na kutenga zaidi ya shilingi Milioni 400 kwa miradi hiyo.   Taarifa hizo bila shaka huenda zikaweka kicheko cha ushindi katika midomo ya Mvurya na wa

See what Sulaiman Shahbal told his opponents....

Image
Businessman Sulaiman  Shahbal says he is in Mombasa to stay and those wishing that he will shift his political base to Lamu are day dreaming. Shahbal said although he has roots in Lamu, his political base is in Mombasa. Popularly known as SS among his supporters, Shahbal said that what his detractors were engaged in was wishful thinking that he would ease himself out of their way. The soft spoken politician enjoys significant following across voters of different persuasions and is seen as the main contender for the Mombasa gubernatorial position. He is currently behind a grassroots  movement calling itself "Change Movement" that has sent chills down the spine of his opponents both in Jubilee and Cord. A section of the opponents have suggested that Jubilee Alliance Party should conduct grassroots election to determine who should be it's flag bearer in Mombasa, a challenge that Shahbal welcomed with open hands. "Who expects to be given a position on a silver plat

Malik Obama is dreaming, Kogello supports Hilary Clinton..

Image
Claims by President Barack Obama half-brother Malik Obama that he will be voting Donald Trump in the upcoming American general elections has torn down the middle the President’s ancestral home in Kogello in western Kenya, with village leaders opposing the views. Responding to a report in the New York Post , the chairman of Kogello Nyang’oma village, in Siaya County, President Obama’s ancestral home, Mr. Vitalis Awandu Ondewe said that the village was solely behind Democrats presidential flagbearer Hillary Clinton and their son Barack Obama. “I was shocked to read the report. We are for the Democratic Party fulltime. We are supporting Hilary and she is going to win,” Mr Ondewe said in a telephone conversation with the writer. Ondewe said he was unconcerned about the support of Malik to Donald Trump because that was his opinion as an individual and did not have the backing of the community. “Majority of this community or Luo community or many Kenyans we are for the Democratic p